Friday, December 18, 2015

YA MAJABVI wa simba yamefika pabaya...UONGOZI, LOLOTE NA LIWE.



Uongozi wa klabu ya Simba umesema kiungo wao wa kimataifa wa Zimbabwe Justice Majabvi kama anataka kuondoka kwenye klabu hiyo ni ruksa kufanya hivyo kutokana na mgogoro uliopo kati ya
uongozi na nyota huyo wa nafasi ya ukabaji kwenye kikosi cha ‘wekundu wa Msimbazi’
                                      Kiungo wa Simba SC Justice Majabvi
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba SC Zacharia Hans Poppe amesema hata kama kuna vitu hawajatimiza kwa mchezaji huyo, hatakiwi kwenda kuzungumza nje ya klabu kwasababu mkataba wake unamzuia yeye kwenda kuzungumza
nje na kama anafikiri atasaidiwa na vyombo vya habari basi aende akadai hakai yake huko.
“Aende zake tu kwani tunatabu gani sisi. Kama kuna vitu tumetimiza au hatujatimiza hatakiwi kwenda kuanza kupayuka maneno hadharani
na mkataba unamnyima yeye nafasi ya kwenda kuzungumza na vyombo vya hari, yeye kama anafikiri atasaidiwa na vyombo vya habari basi aende akadai huko”, amesema Hans Poppe boss wa usajili wa klabu ya Simba.

BAADA YA DIRISHA DOGO LA USAJILI KUFUNGWA, HII NDIYO ORODHA YA WACHEZAJI WOTE WALIOSAJILIWA NA KUTEMWA

/8exhjO3HMLM/s400/Paul-Nonga.jpg" width="400" />
Paul Nonga akiwa kwenye ofisi za Yanga kukamilisha uhamisho wake wa kuijunga na klabu hiyo kutoka Mwadui FC

Usajili wa dirisha dogo umefunga usiku wa December 15 baada ya kufunguliwa November 15 mwaka huu ikiwa ni baada ya michezo tisa ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara lakini ikiwa ni mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo. Timu mbalimbali zimetumia nafasi hiyo kuboresha vikosi vyao huku timu nyingine zikizathika na kwa kuondokewa na wachezaji wao muhimu
Hapa nimeuandalia orodha ya usajili uliofanywa na baadgi ya vilabu vya ligi kuu;
Simba SC
Waliosajiliwa:
Bria Majwega (kutoka Azam FC)
Raphael Paul Kiongera (alikuwa kwa mkopo KCB ya Kenya, amerudi Simba SC)
Dany Lyanga (kutoka FC Lupopo)
Haji Ugando (kutoka Nakuru All Stars)
Novatus Lurunga (kutoka African Spots)
Azam FC
Waliosajiliwa:
Ivo Mapunda (mchezaji huru)
Yanga SC
Waliosajiliwa:
Paul Nonga (kutoka Mwadui FC)
Issoufou Boubacar Garba
Mbeya City
Waliosajiliwa:
Tumba Swed (kutoka Coastal Union)
Abdallah Juma (kutoka Toto Africans)
Deo Julius
Ditram Nchimbi
Ramadhani Chombo (mchezaji huru)
Mtibwa Sugar
Waliosajiliwa:
Kelvin Friday (kutoka Azam-kwa mkopo)
Boniphace Mganga(kutoka Simba-kwa mkopo)
Mgambo Shooting
Waliosajiliwa:

Hamis (mchezaji huru)
Nurdnin Mganga (kutoka Mkonge)
Coastal Union
Waliosajiliwa:
Adam Miraji (kutoka Simba-kwa mkopo)
Omary Wayne (kutoka Azam FC-kwa mkopo)
African Sports
Waliosajiliwa:
Wamesajili wachezaji saba (7) kutoka timu mbalimbali za madaraja ya chini za mkoani Tanga
Ndanda FC
Waliosajiliwa
Jackson Mkwera
Bryson Raphael (Kutoka Azam FC-kwa mkopo)
Ramadhani Kiparamoto (kutoka Abajalo FC)
Toto Africans
Waliosajiliwa:
Imejaza nafasi zake kwa kusajili wachezaji saba walioisaidia timu hiyo kupanda ligi kuu lakini baadae ikawaacha ambao ni;
Ladslaus Mbogo, John Bosco, Frank Kimati, Shingwa Musa , Jumanne Ahmed, Maneno Shabani na Yusuf Suleiman
Tanzania Prison

Waliosajiliwa:
Baraka Gamba (kutoka Wenda FC)
Mwadui FC
(Haijaweka wazi wachezaji iliowasajil
Stand United
(Haijaweka wazi wachezaji iliowasajili)
Kagera Sugar
(Haijaweka wazi wachezaji iliowajili)
Wachezaji hawa wanaweza kuwa na msaada kwenye timu zao? Tusubir hadi mwishoni mwa msimu tuone ni wapi timu hizi zitaangukia.diri



Label 14

Label 14

Swimming

Label 15

Label 3

Label 4